Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Sheikh Kadhim Abbas, Mudir wa Hawza za Bilal Muslim Tanga, Tanzania, leo hii Alhamisi Machi 10, 2025 amefanya akiwa ziarani katika Hawza ya Imam Ali (a.s) Pangani. Ziara hii ina lengo kuboresha Sekta ya Elimu na Maarifa ya Kiislamu katika Hawza zote za Bilal Muslim Tanga - Tanzania. Ametoa nasaha muhimu kwa Wanafunzi wa Hawzah akisema: "Wanafunzi wa Kidini wanapaswa kusoma kwa bidii na kuzingatia masomo yao ili kuhakikisha wanayafikia malengo matukufu ya kuchuma Elimu na Maarifa ya Dini Tukufu ya Kiislamu".
10 Aprili 2025 - 20:57
News ID: 1548310
Your Comment